KINANA AITEMBELEA NYASA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Rudisha baada ya kumsimamisha na kumtaka asalimiane wananchi .
 Ujumbe unaomtaka Katibu Mkuu wa CCM Ndugu asimame kwenye kijiji cha Maganagana japo wamsalimi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na wananchi wa kijiji cha Makatani wakati akielekea wilaya mpya ya Nyasa.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Luhangarasi  wilaya mpya ya Nyasa.
 Katibu wa NEC  Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro akiwasalimia  wananchi wa kijiji cha Luhangarasi wilaya mpya ya Nyasa.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kubeba  matofali kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya Kata ya Luhangarasi.
 Wanachama  wa shina namba 1 kwa Balozi Joseph Nduguru tawi la Luhangarasi wilaya ya Nyasa wakicheza kwa furaha wakati wa kumaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa kata ya Kingerikiti wilaya ya Nyasa.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ofisi ya CCM  wilaya ya Nyasa kulia ni Mbunge wa Mbinga Kapteni Jonh Komba.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wachezaji wa Timu ya Kilosa wakati wa  ukaguzi,timu ya Kilosa ilicheza mechi ya kujipima nguvu na timu ya Mbamba Bay.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipiga mpira kama ishara ya ufunguzi wa mechi kati ya timu za mpira za wanawake Kilosa na Mbamba bay

Mbunge wa Mbunge wa Mbinga Magharibi Ndugu Kapteni John Komba akihutubia wananchi kwenye viwanja vya michezo Mbamba bay.

No comments:

Post a Comment