NAPE:TUNAIMANI NA TUME YA WARIOBA




Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM-Lumumba Dar es Salaam. Alikuwa akitoa ufafanuzi kuhusu masuala yahusuyo Mchakato wa Katiba mpya na kusema "tunaheshimu tume,tunaimani nayo na tunaahidi ushirikiano wa kutosha katika mchakato wa Katiba".

No comments:

Post a Comment