KATIBU MKUU WA CCM TAIFA MH. KINANA AKUTANA NA BALOZI WA SUDAN NCHINI.



Wednesday, September 4, 2013
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akimkaribisha Balozi wa Sudan hapa nchini, Dk. Yassir Mohamed Ali,kabla ya mazungumzo naye, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) akizungumza na Balozi wa Sudan hapa nchini, Dk. Yassir Mohamed Ali, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Saloaam, leo.
 Balozi wa Sudan hapa nchini Dk. Yassir Mohamed Ali (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, kitabu kuhusu nchi hiyto, wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
Kinana akimshukuru Balozi kwa kumpa kitabu hicho. Imetayarushwa na theNkoromo Blog

No comments:

Post a Comment